Tarehe 3/1/2016 kutakuwa na ibada ya kwanza ya kinabii mwaka 2016.tunapenda kukukaribisha katika ibada hii itakayo kuwa imejaa unabii na ata nuru katika maisha yetu.kutakuwa na waimbaji kama vile mtumishi wa Mungu Suleiman,matumaini,na prays team ya reveration church of Tanzania.ibada hii itaongozwa na Nabii jiographia usionapo tangazo hili mfahamishe na mwenzio hakikisha unakuja na mtu mwingine.kuwai kwako ndio kupokea kwako Zaidi ameen.kwa mawasiliano Zaidi piga simu namba <strong>0656240305</strong>
Friday, January 1, 2016
BAADA YA MKESHA WA MWAKA MPYA 2016
Posted by Nabiijiographia on 10:44 PM in RATIBA ZETU | Comments : 2
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Aimen
ReplyDeleteameen
Delete