Je!
Aliye kipofu aweza kuongoza kipofu? Luka 6: 39
Ndugu msomaji wangu imani yangu ni kuwa kama macho yako yameongozwa kusoma
habari hii basi bila shaka Roho wa Mungu anataka utafakari pamoja nami kuhusu
aya hiyo hapo juu leo.
Tunapotafakari kuhusu mstari huo ni mithali iliyotolewa na Bwana Yesu juu ya
kanuni fulani ya uongozi Kutokana na andiko hilo ni wazi Yesu anamaanisha ili
mabadiliko yatokee ni wazi kuwa kiongozi anapaswa awe na maono au mtazamo
tofauti na wale anaowaongoza ndipo badiliko linaweza kutokea Kama kiongozi ana
maono na mtazamo uleule walionao watu wake hakuna badiliko laweza kutokea JE
KIPOFU AWEZA
Tuesday, January 12, 2016
Je! Aliye kipofu aweza kuongoza kipofu?
Posted by Nabiijiographia on 4:02 PM in MAHUBIRI | Comments : 0
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment