BREAKING NEWS

Tuesday, January 12, 2016

Je! Aliye kipofu aweza kuongoza kipofu?

Je! Aliye kipofu aweza kuongoza kipofu? Luka 6: 39
Ndugu msomaji wangu imani yangu ni kuwa kama macho yako yameongozwa kusoma habari hii basi bila shaka Roho wa Mungu anataka utafakari pamoja nami kuhusu aya hiyo hapo juu leo.
Tunapotafakari kuhusu mstari huo ni mithali iliyotolewa na Bwana Yesu juu ya kanuni fulani ya uongozi Kutokana na andiko hilo ni wazi Yesu anamaanisha ili mabadiliko yatokee ni wazi kuwa kiongozi anapaswa awe na maono au mtazamo tofauti na wale anaowaongoza ndipo badiliko linaweza kutokea Kama kiongozi ana maono na mtazamo uleule walionao watu wake hakuna badiliko laweza kutokea JE KIPOFU AWEZA

 

Post a Comment

 
Copyright © 2015 Nabii Jiographia

Designed by Luzmik Technologies