BREAKING NEWS

Friday, January 1, 2016

WACHAWI WA ANGUKA KATIKA BEHEWA LA KINABII.









Wakati shughuli za mkesha wa kuukaribisha mwaka mpya 2016.ilikuwani jambo la kushangaza machoni pa watu kwani dakika 15 kabra ya kuiingia mwaka wa nuru 2016.kulitokea tafarani kwani baada ya maombi mazito ya kinabii yakiendelea.zilitolewa ilizi zilizo kuwa zimewekwa na wachawi katika pembe ya kanisa "siku zote giza aliwezi kuhishinda nuru".Moto kutoka mbinguni ulishuka kuteketeza ilizi izo.na baadae ikawa ni nafasi njema ya washirirka kuwasha mishuma yao kupitia moto ule ulio kuwa ukiwaka katika ilizi zile.dakika 2 kuukaribisha mwaka watu wawili walitokea kwa nyuma wakiingia  huku wakiwa katikaa mavazi yao ya kichawi,baada ya maombi waliweza kueleza lengo lao kuu usiku huo ambao ilikuwa ni kunyonya damu za watu wote wenye ujauzito sehemu mbalimbali.kweli Mungu ni wa ajabu

mambo mengine zaidi kuhusu watu haya utaendelea kuyapata hapa hapa kwenye tovuti yetu,nikusihii tu usiache kututembelea kila siku upate kuona yanayojiri katika behewa la kinabii.

Imechapishwa na,          
Nabii jiographia,
 Simu:0656240305


 
 

Post a Comment

 
Copyright © 2015 Nabii Jiographia

Designed by Luzmik Technologies