BREAKING NEWS

Monday, January 4, 2016

FANYA MAMBO MPAKA WATU WASHANGAE.


Mpendwa mfatiliaji wa makara zangu nilizo kuwa nikiziandika kupitia blog yangu.leo nimekuletea ujumbe mpya ambao ukiamasika na ku ushika nakuufanyia kazi utakuinua sana.



Siku zote watu wamekuwa wakipoteza muda katika jumla ya maisha yao walio ishi kwani wamekuwa wakiishi kwa ajiri ya kumfurahisha mwanadamu,bila ya kuishi kwa ajiri ya Mungu,adi badae kujikuta kuishia bila mafanikio yoyote adi uzee wao wote.Biblia inatufundisha kupitia mfano wa yuda escarioti ambaye alikuwa amepewa cheo cha mtunza azina kati ya wanafunzi wa Yesu alifanya mambo yakeyote kwa ajiri ya kuwafurahisha wanadamu na mwisho kuishia patupu kwani wanadamu ao ao walioneka kuwa wabaya kwake adi badaye aliamua kwenda kujiua katika bonde la alkadema.Yesu anatueleza katika Mathayo13:18c "aliyekula chakula changu ameniinulia kisigino chake" Neno hili lilikuwa limemlenga yuda kwani alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu ambaye aliaminiwa kupita kiasi na Rabii wake,lakini kwa jambo alilolifanya yuda ambalo lilimgarimu sana adi kutoa uhai wake nikufanya mambo kwa ajiri ya wanadamu na sii kwa ajiri ya Mungu.Na ndio maana wakati ule wa chakula cha usiku Yesu alisema ya kwamba yeye aliyetia mkono wake katika kombe ili ndiye atakaye nisaliti nabaadae kwisha kumpatia tonge na kumlisha nakusema..... angaria mstari wa 26.sikuzote unapo fanya mambo yako kwa ajiri ya mwanadamu shetani anakuwa karibu nawe ili kukupoteza nandio maaana yuda aliingiwa nashetani npale tu ambapo  Yesu alikuewa amekwisha kumpatia tonge ndipo Yesu akamwambia "uyatendayo uyatende upesi" sikuzote Mungu anapoona umemueka mbali naye uwa anakuacha na Mungu akikuacha akuna kitakacho weza kuwezekana na ndio maana yuda akuchukua Muda akajijutia alicho fanya na akaamua kwenda kujiua katika bonde la alkadema ambapo uko aliweza kupoteza uhai wake sio uyo tu ila tuna mifano mingi katika Biblia sitatoa yote ila nitakueleza huu mmoja ambao utakufundisha.Fungua pamoja nami katika kitabu cha mwanzo 3 kaini alikuwa ni mmoja wamtu ambaye alikuwa mbali na Mungu kwani biblia inatueleza kuwa alipo jua amemtenda kosa bwana akukumbuka ata kuomba msamaha na ndio maana katika mstari wa  9:kaini akasema "mimi ni mlinzi wandugu yangu" hapa ni baada ya kuulizwa abel yukwapi biblia inatueleza Mungu alimlaani kaini ni kumuacha afate akili yake yakibinadamu na mwisho wakaini au kua mzuri      kwani Mungu alimuacha afanye mambo yake.unapo fanya mambo yako sikuzote usifanye kwa ajiri ya Mtu ila jitaidi kufanya mambo kwaajiri ya kumtukuza Mungu kwani mwanadamu atakusaidia chochote mwisho wamwanadamu nikukusemea mabaya tu.Miguu yako iwe moto ili kila yupitapo mbaya wako akapate kuona moto uo katika jina la Yesu pokea.

Post a Comment

 
Copyright © 2015 Nabii Jiographia

Designed by Luzmik Technologies