BREAKING NEWS

Friday, January 1, 2016

MKESHA WA MWAKAMPYA KATIKA BEHEWA LA KINABII.


NENO KUU:KUTANGAZA NURU KATIKA MAISHA YAKO 2016
Ni usiku wa tarehe 31/1/2015 ambapo ibada ya kinabii ilikuwa ikiendelea ndani ya behewa la kinabii.katika mwaka 2015 wengi walijitkuta wakipitia shida nyingi,wengine ata kukata tamaa ya kujiuwa,wakitafuta njia ya kupumzisaha matatizo yao lakini suluhisho au kikomo cha  matatizo yao kutokuonekana.ukiachana na jambo dogo kama ilo wengine waliweza kupitia matatizo mengi katika biashara zao yote aya ni ili Mungu aweze kujidhihirisha katikati yao.
Mpendwa msomaji wa makala hii.Tazama ni nayo habari njema kwako wewe uliekata tamaa na ata kudiriki kuchua atua ya kujiona wewe aufai katika ulimwengu huu, nakutangazia ya kwamba nuru ya Mungu ikakuangazie unapo kwenda ku uanza mwaka 2016.nakutamkia baraka za Mungu zikabebe familia yako,baraka za Mungu zika kutangulie katika biashara zako,baraka za Mungu zikaguse elimu yako kama wewe ni mwanafunzi..baraka za Mungu zikufuate wewe unanifatilia kupitia tovuti yangu hii.nasema wachawi awata pata nafasi katika jina la Yesu,wanao nyonya damu za watu awata waona katika jina la Yesu.
 

Nipende kukusii tu juu ya mwaka huu 2016 katika kila jambo utakalo kuwa unalifanya jaribu kutamkia neno kwani uwezi jua nani ni mbaya wako ama mwema wako.Wewe mfanya biashara mwaka huu kama ulifanya masihara kwenye biashara yako na Mungu akakusaidia,fanya biashara mpaka wa baya wako wakapate kumtambua Mungu wako unaemuabudu.waache wakuite mchawi sijui mwangaa we songa mbele na Yesu wako nawe utakuja kuniambia kwani mwaka 2016 ni mwaka wa kumiliki na sii mwaka wakupoteza wala kukaa chini.mwanafunzi soma sana Mungu atakuacha,usijari wenzako wanakusema vipi juu ya uamuzi wako wa kuokoka bari wewe enderea kusonga mbele na Mungu ata kusaidia.Napenda kukushukuru wewe msomaji wa makara zangu na na enderea kukusihi usiache kutembelea tovuti yangu nabiijiographia.blogspot.com ukapate kuona mambo mengi ya kinabii ya kiienderea katika behewa lakinabii.vilevile pia ukipata nafasi fika katika behewa la kinabii lililopo mkoa wa MORORGORO kituo cha lungwawa Mkundi.
Imechapishwa na,          
Nabii jiographia,
 Simu:0656240305

2 comments :

 
Copyright © 2015 Nabii Jiographia

Designed by Luzmik Technologies