Habari ndugu
mpendwa msomaji wa nakara zangu.siku hii ya leo ninayo habari njema kwako ya
kwamba akuna nguvu za giza ama nguvu za kichawi zaniazo dumu.sizani kama
wanielewa sawa sawa,Nguvu za giza siku zote zime tengenezwa kwa ajiri ya giza
na ndio maana mwanga unapo ingia katika giza giza hutoweka maramoja.ivyo siku
zote hakuna nguvu ya wachawi inayo dumu bali kinacho dumu ni nguvu ya Mungu
tu.kama upo na biblia yako karibu unaeza fungua nami ISAYA 54:1-4 isaya anatupa
unabii ya kwamba maisha yetu yote yamewekwa kiganjani pake Mungu ivyo tusiogope
wala tusifadhaike.panua mahari pa hema yako na uyatandaze maskani yako ongeza
urefu wa kamba zako katika bihashara yako,elimu yako,maono yako,familia yako
nauone ni jinsi gani Mungu atakavyokwenda kukubaliki.kwani Mungu kupitia Nabii
wake isaya anatuahidi yakuwa (angaria mstari wa 3),kwa maana utaenea upande wa
kushoto;na wazao wako watamiliki mataifa;wataifanya miji iliyokuwa ukiwa
kukaliwa nawatu. nasema kama Nabii ya kwamba biashara yako ikaongezeke kwanzia
sasa katika jina la Yesu,wewe mfanyakazi Mungu akakufugulie milango katika jina
la Yesu, Ahadi zako ambazo Mungu amepanga kwa ajiri yako ukapoke katika jina la
Yesu.Wachawi wanaweza wakaharibu maisha yako lakini shika hii HAKUNA NGUVU YA WACHAWI AU MAPEPO INAYOWEZA
KUDUMU.Nguvu ya Mungu ndio nguvu pekee inayo weza ikadumu milele.mathayo24:35
biblia inatueleza kuwa mbingu na nchii
zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe na ndio maana wachawi awata fanya
uchawi wao bila siku moja kukamatika adharani kwani atujakamata wachawi hapa?
bonyeza link hii upate soma nakara hii iliyo pita kuhusu wachawi.Ninaamuru
nguvu yakushinda wachawi ikufuate katika jina la Yesu ukapate kuwajua wa baya wako
wote na uwajuapo tu usiwape nafasi kazi yako ni moja wewe tangaza nuru uone
jinsi ambavyo mambo yako yataenda sawa.Ninapomalizia ninapenda kukushauri mwaka
huu usipoteze muda kujadiri mambo yasio faa bari kaa chini kujadiri mambo
yatakayo kuletea faida na sii hasara ubalikiwe sana!
Monday, January 4, 2016
HAKUNA NGUVU YA MAPEPO WALA WA CHAWI INAYO WEZA KUDUMU
Posted by Nabiijiographia on 9:00 PM in MAHUBIRI | Comments : 0
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment